December 31, 2010
HII NI TASWIRA YA THE VIBE ILIYOPO MBEYA CITY
Hii ni Taswira ya The Vibe kwa Ndani,, Hii ilikuwa naMoja ya Shangwe zilizofanyika siku ya Mkesha wa Mwaka Mpya., Lakini kwa sasa ni kila Ijumaa,Jumamosi na Jumapili.!!!
Ukiwa unapita Barabara inayokupeleka Kampasi ya Chuo cha Mzumbe Mbeya bila shaka utakutana na Jengo hili Kali ambalo ndani yake ndipo shangwe za Marafiki hufanyikia.!!!
The Vibe........, Jionee Utofauti.!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
tanx kwa kutuonesha huo mjengo kwa sisi ambao c wa kwenda place hizo tumekula kwa macho
ReplyDelete