I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

May 20, 2011

BREKING NEWSSSSSSSSS : Sheikh Yahya Hussein afariki dunia Leo



Marehemu Sheikh Yahaya Hussein enzi za uhai wake



Habari ambazo tumezipata hivi Punde zinasema kwamba mnajimu maarufu Sheikh Yahya Hussein amefariki dunia.


Mtoto wa marehemu, Hassan Yahya Hussein, kaithibitishia Globu ya Jamii sasa hivi kwamba baba yake amefariki dunia mnamo saa nne asubuhi ya leo nyumbani kwake Mwembe Chai jijini Dar es salaam. Alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya moyo.
Hassan amesema mipango ya mazishi yanafanyika hapo hapo  Mwembe Chai,  na kwamba maziko yanatarajiwa kufanbyika kesho  hapo  nyumbani kwa marehemu.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!