I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

May 15, 2011

COCO MASTER (D'BANJ) NA COCO MISTRESS (GENEVIEVE).....KUTANGAZA NDOA?!



Pamoja na uvumi kuwa msanii D'banj aka Koko Master na Nollywood actress Genevieve Nnaji toka Nigeria kuwa wamepigana chini,inadaiwa kuwa kwa sasa wako kwenye maadalizi ya mwisho ya kufunga ndoa aka ku-fall in love
D'Banj na Genevieve walikua pamoja jijini London kwenye birthday ya Genevieve alipotimiza miaka 32 na inadaiwa kuwa watu wao wa karibu wanafunguka kuwa huenda wakatangaza ndoa hivi karibuni kuliko ilivyotarajiwa na huenda ikawa mwezi August 2011
Inasemekana kama D'Banj na Genevieve watafunga ndoa,basi watakua Africa’s entertainment super couple na kufuata nyayo za Beyonce na Jay-Z,Will Smith na Jada na wengine kibao

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!