I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

May 26, 2011

KUANZIA SASA MTU MZIMA AY NDIYE MENEJA WA DULLY SYKES KWA SHOW ZA NJE.



Msanii anayetamba na wimbo wake wa Bongo Fleva Dully Sykes aka Brotherman ameongea wakalinext na kusema kuanzia sasa msanii mwenzake anayejulikana kwa jina la AY ndiye atakayekuwa meneja wa show zote za Dully zitakazofanyika ulaya.
Dully amesema hivyo kwa kumuamini AY kwa kuvuka boda na kujuana na wadau wengi wa nje ya nchi so anaimani na yeye atafanya vizuri katika anga hizo na kutomuangusha apatapo show hizo za Ulaya.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!