I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

January 21, 2013


Baada ya jana Mali kuichapa Niger (1-0) katika Dakika 6 kabla mpira kumalizika Bao lililopachikwa na Seydou Keita ambaye ni Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Goli hilo ni baada ya Kipa wa Niger Daouda Kassaly kuitema krosi ya Fousseiny Diawara.

Bao hilo la Dakika za mwishoni limewafanya Mali wawe Vinara wa Kundi hilo.

Lakini jana Katika Mechi ya Awali ya Kundi B, Timu ya Ghana na Congo DR zilitoka sare ya Bao 2-2.

Hii ndiyo Ratiba ya Leo Jumatatu Januari 21;

•(Saa 12 Jioni)

-Zambia vs Ethiopia

•(Saa 3 Usiku)

-Nigeria vs Burkina Faso

#Full Updates#

Msimamo wa Timu za Majuu (La Liga):

(Kila Timu imecheza Mechi 20 isipokuwa pale inapotajwa tu.)

1 FC Barcelona Pointi 55

2 Atletico de Madrid 47

3 Real Madrid CF 40

4 Real Betis Mechi 19 Pointi 34

5 Malaga CF 32

6 Rayo Vallecano 31

7 Valencia 30

8 Levante 30

9 Real Sociedad 29

#Full Updates#

Msimamo wa Timu za Majuu (BPL):

1. Man United Mechi 23 Pointi 56

2. Man City Mechi 23 Pointi 51

3. Chelsea Mechi 23 Pointi 45

4. Tottenham Mechi 23 Pointi 41

5 Everton Mechi 22 Pointi 37

6 Arsenal Mechi 22 Pointi 34

7 Liverpool Mechi 23 Pointi 34

8 West Brom Mechi 23 Pointi 34

9 Swansea Mechi 23 Pointi 33

10. Stoke Mechi 23 Pointi 29

#Full Updates#

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!