I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

January 21, 2013


Baada ya jana Mali kuichapa Niger (1-0) katika Dakika 6 kabla mpira kumalizika Bao lililopachikwa na Seydou Keita ambaye ni Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Goli hilo ni baada ya Kipa wa Niger Daouda Kassaly kuitema krosi ya Fousseiny Diawara.

Bao hilo la Dakika za mwishoni limewafanya Mali wawe Vinara wa Kundi hilo.

Lakini jana Katika Mechi ya Awali ya Kundi B, Timu ya Ghana na Congo DR zilitoka sare ya Bao 2-2.

Hii ndiyo Ratiba ya Leo Jumatatu Januari 21;

•(Saa 12 Jioni)

-Zambia vs Ethiopia

•(Saa 3 Usiku)

-Nigeria vs Burkina Faso

#Full Updates#

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!