Inavyelekea kama Tuzo za Grammy mwaka huu zitakua ni funika bovu kwa list ya wasanii na watangazaji waliotupiwa pale kati….wasanii watakao perform ni kama Dre,Emeniem,Justin Beiber,Lady gaga na wengine kibaoooo….na kwenye watangazaji ametupiwa LL Cool J, Selena Gomez na mwanadada Nicky Minaj sasa pata picha Show itavyokua…..Wakailinext itaendelea kukupa List ya wasanii ambao wataongezwa kwenye Perfomance za Tuzo za Grammy 2011 ambazo zitafanyika mwezi huu tarehe 13……. so stay visit here
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni yako hapa chini