I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

February 04, 2011

RAH P AJIFUNGUA MTOTO WAKE 2 NCHINI MAREKANI!


 


Hip Hop artist ambaye amepotea kitambo toka Tanzania,Fredinah Peyton aka ‘RAH P’ ambaye anaishi nchini Marekani,anadaiwa kujifungua mtoto wa kiume hivi karibuni. Rah P alitamba sana na track yake ya Hayakuhusu,alijifungua mtoto huyo mwishoni mwa mwaka jana,Dec 16 huko mjini Houston Texas anapoishi hivyo kumfanya kuwa na watoto wawili. Rah P alisema kwa sasa hivi yeye ni mama,ukiniona ugumu wote umeisha na kufanya mziki kwa sasa amepumzika kidogo ila fans wake wategemee ujio mwingine kutoka kwake kwani sasa najikita kwenye ku act!

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!