Colonel Mustapha amefunguka kusema kuwa alishtukia kuhusu ukaribu wa Marya na Shaffie,tangu November mwaka jana kwenye live concert pande za KICC,na kusema kuwa inauma sana kuona watu uliyowaamini sana then wanakusaliti,tena shaffie alikua kama kaka yake ambapo alikua akipata tatizo anamuomba ushauri
Naye Marya amefunguka kuwa,hapaswi kulaumiwa coz alitemana na Colonel Mustafa na alikua huru na alihitaji mtu wa kumfariji na shaffie alikua kwa ajili yake na alikiri kuwa walikua na mahusiano ya muda mrefu ila wameshindwa kuficha hisia zao za mapenzi na wadau wanasema ni bora wafaute nyayo za Nameless na Wahu,naye Colonel Mustapha alitoa kali kudai kuwa hajutii kutokua na Marya tena,na hata kama akialikwa kwenye harusi atahudhuria kama kawa
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni yako hapa chini