April 05, 2011
Wazeee Wa Kazi Kazini
Mkaguzi msaidizi wa Polisi ambaye ni mkufunzi wa Chuo cha Taaluma ya Polisi, akipita bila viatu kwenye moto,kama ishara ya kuonyesha kuwa kila kitu kinawezekana, wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili yaliyotolewa na taasisi ya (Peak Perfomance) kwa wakufunzi wa chuo hicho katika kuwajengea uwezo wa kiimani, kisaikolojia na kujitambua kwanini wanaishi ili kuwasaidia kujiamini katika utendaji wa shughuli zao za kila siku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni yako hapa chini