I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

May 16, 2011

DUBAI yapata shavu la kuuzishwa sura na BOBI WINE..!

 


Ingawa kuna Uvumi wa chinichini kuwa industry ya Muziki huko Uganda  inaonesha kuwa Doro,huku artist wa Uganda wanafanya kila waliwezalo kufanya waonekane na mvuto na kwa sasa Bobi Wine yuko Dubai aki-shoot videos zake mpya...
Bobi alionekana beach akiendelea na mishemishe za videos na kupata nafasi ya kukutana na waganda waishio Dubai na pia kupata totos kwa ajili ya videos zake pia

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!