I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

May 16, 2011

STL KULA BATA NA WAKENYA...!

 


Rapper toka Kenya Stella Mwangi aka STL anatarajiwa kurudi Kenya alikoandaliwa sherehe kwa ajili ya kumpongeza kwa mafanikio aliyoyapata kwa kufukia nusu fainali ya Eurovision Song Contest 2011,akiiwakilisha nchi ya Norway
Sherehe hiyo inatarajiwa kufanyika pande za Michael Joseph Centre,jijini Nairobi na bendi ya Altimate ikishirikiana na ubalozi wa Norway na kampuni moja ya simu nchini Kenya wameandaa bata hilo kwa STL

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!