I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

February 16, 2011

Kamera ya Vibe Ndani ya The Vibe VALENTINE hii

Kama kawa Usalama wa Raia na Mali zao ni Jadi ya The Vibe kupitia Zana za Kisasa Kabisa




Diva's Wakikata Tiketi kwa Ajili ya kuingia Ndani ya The Vibe kuendeleza shangwe


Katikati ya Dancing Floor..., Historia Ili anza kuwekwa Hapo.......




Hawa ni Washindi Kumi na Mbili waliopata zawadi kutoka Redd's kwa sababu walitoka Kivalentine zaidi...Aliyevaa Tshirt ya Redd's Katikati ni Mr.Raymond Kutoka TBL


Club Manager Mwenye Njano akiwa na washindi 12

Mr. Raymond toka TBL(Kushoto) akiwa na Presenter's Vice President., Stanslaus Lambat ambaye Alikuwa ana Run show nzima


Host's..; Jackline Charles na Stanslaus Lambat

Mshindi wa Pili (Kushoto) na Mshindi wa Pili (Kulia) amabo walitoka Kivalentine zaidi siku hiyo


Huyu aliibuka Mshindi kwa kuwa Mwanadada aliyetupia Kivalentine zaidi siku hiyo..., Amekamatia kifurushi cha Zawadi toka TBL kupitia Kinywaji cha REDD'S pamoja The Vibe


MC (Presenter's Vice President.!)

Smart B

Kona ya Kupanda VIP..., Jamaa Toka Mbeya FM wakiwa na Mr. Ray

Washindi wa The BEST Couple siku hiyo wakipiga KISSSSSSSSSSSS....., Duh.!!

Manager TBL Branch ya Mbeya akisikiliza Maelekezo ya Kuwagawia Mkwanja Washindi Wa The Best Couple ambao Mshindi wa kwanza na Wa Pili walipata 30,000/= kils mmoja na Wa kwanza walipata 40,000/= kutoka The Vibe.!! 

Ukiachana na Mkwanja The Best Couple walipata Zawadi ya Vifurushi toka TBL

February 11, 2011

UCHAFU WA P.DIDDY......................, Fuckn M**#@Ckerrrrrrrrrrrrrrr


Kwa mda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa mtu mzima P.diddy anatoka na mwanadada ambaye wanaonekana pamoja pichani anayetambulika kwa jina la Cassie.. Lakini kwa sasa sio tetesi tena kwani tayari Mzigo umekita Mtandaoni kwani zimeleak …., Kwenye picha hizo P.diddy anaonekana akiwa amempakata mwanadada Cassie huku wanakiss na wote wakiwa kama walivyozaliwa

February 05, 2011

There is an Australian performance artist had a third Ear surgically implanted in his arm


Stelios Arcadiou, also known as Stelarc to his fans, waited years to find a doctor who could graft an ear onto his arm! He says that it is an artistic augmentation of the body’s form. Of course, Stelarc is not able to hear out of this extra ear, but he hopes to one day implant a microphone inside the ear so that others can listen through his arm!

This is how The Octopus can fit in the Beer Bottle

February 04, 2011

RAH P AJIFUNGUA MTOTO WAKE 2 NCHINI MAREKANI!


 


Hip Hop artist ambaye amepotea kitambo toka Tanzania,Fredinah Peyton aka ‘RAH P’ ambaye anaishi nchini Marekani,anadaiwa kujifungua mtoto wa kiume hivi karibuni. Rah P alitamba sana na track yake ya Hayakuhusu,alijifungua mtoto huyo mwishoni mwa mwaka jana,Dec 16 huko mjini Houston Texas anapoishi hivyo kumfanya kuwa na watoto wawili. Rah P alisema kwa sasa hivi yeye ni mama,ukiniona ugumu wote umeisha na kufanya mziki kwa sasa amepumzika kidogo ila fans wake wategemee ujio mwingine kutoka kwake kwani sasa najikita kwenye ku act!

Amini usiamini Dr.dre na Emeniem wachaguliwa kuperform ndani ya tuzo ya grammy 2011



Inavyelekea kama Tuzo za Grammy mwaka huu zitakua ni funika bovu kwa list ya wasanii na watangazaji waliotupiwa pale kati….wasanii watakao perform ni kama Dre,Emeniem,Justin Beiber,Lady gaga na wengine kibaoooo….na kwenye watangazaji ametupiwa LL Cool J, Selena Gomez na mwanadada Nicky Minaj sasa pata picha Show itavyokua…..Wakailinext itaendelea kukupa List ya wasanii ambao wataongezwa kwenye Perfomance za Tuzo za Grammy 2011 ambazo zitafanyika mwezi huu tarehe 13……. so stay visit here

Rihanna and Drake to Perform at Grammys,And My Girl Nicki Minaj to Present.

The 53rd Annual Grammy Awards have nabbed some dynamic duos. The latest batch of performers added to this year’s lineup include the pairing of Drake and Rihanna, as well as Cee Lo Green and Gwyneth Paltrow teaming up with some special friends.

RiRi and Drizzy, who have four nominations apiece, will most likely perform a rendition of their collaboration “What’s My Name?,” which peaked at the top of the Billboard Hot 100. It will mark their first live performance together.
Four-time nominee Cee Lo has a few tricks up his sleeve for his performance as well. Not only will he duet with Oscar-winning actress Paltrow, but the duo will also be accompanied by the Jim Henson Company Puppets. While unconfirmed, the motley crew could deliver a must-see moment by performing the Grammy-nominated smash “F**k You.”
Nicki Minaj will join Drake in repping for Young Money, as she makes her first appearance as a presenter, nominated with Ludacris for Best Rap Performance by a Duo or Group. LL Cool J, Dierks Bentley, Norah Jones, Selena Gomez, and Blake Shelton round out the list of newly-announced presenters.
Previous performers for music’s biggest night include Eminem, Lady Gaga, Arcade Fire, Justin Bieber with Usher and Jaden Smith, and the combination of B.o.B, Bruno Mars, and Janelle MonĂ¡e. The show will be broadcast live on CBS from Los Angeles’ Staples Center on February 13 at 8 p.m. EST.

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!