I made this widget at MyFlashFetish.com.

code-matuwille

MPENZI MSIKILIZAJI WA MBEYA FM, PENDEKEZA WIMBO UNAOONA UNAFAA KUINGIA KWENYE TOP 30, KABLA YA JUMAPILI AU TUMA MAONI YAKO KUPITIA 0757762963

2011

WAJANJA WA TOWN

WASIKILIZE WAJANJA WA TOWN KUPITIA 89.5 MBEYA FM....PRESENTER-VICE PRESIDENT NA SMART BOY

September 09, 2011

Stanslaus Lambat Umjuaye..,

Yeaah.!! Ni kwamba Jamaa kitambo kidogo tangu afiche Makucha na Maujanja yake ya Ukweli awapo kwenye Programmz, so Story ni kwamba kwa sasa Jamaa ameonekana kujipanga zaidi na kuja kwa kasi ya Ajabu sanaaaa though yeye mwenyewe hajafunguka Lakini Kitaa kimesound hivyo kutokana na Kasi aliyoanza nayo tangu wiki hii Ianze

Hon;Stanslaus Lambat (Presenter's Vice President)
Haijajulikana mara Moja kwanini jamaa alikaa kimya kidogo ila Tetesi ni kwamba kutokana na Kuona aliowaachia nafasi hawaitumii vizuri nafasi hiyo so cha Muhimu tune 89.5 Mhz Mbeya FM all the Tym hususani Jumamosi saa Moja Asubuhi mpaka saa Tatu, Jumapili Saa Tatu mpaka saa Saba kwenye Rasha rasha za Top 30 na Jumanne saa Moja mpaka Tatu asubuhi.!!! Lol, dats ma Men Lambat

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni yako hapa chini

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963

TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU.., WASILIANA NASI 0757762963
Matangazo hayo pia yatarushwa moja kwa Moja Kupitia 89.5 MBEYA FM Radio.!!